Posts

Showing posts from June 16, 2013

jinsi ya kurudisha matiti yaliyolala

Image
kwa wakina dada na mama ambao maziwa yenu yanawakela hii ndo dawa yake fanya kwa wiki mara mbili utayafurahia maziwa yako. unatakiwa uchukue kijiko kimoja cha vitaminiE,kijiko kimoja cha kijiko cha maziwa mgando,kijiko kimoja cha mayai.changanya na uhakikishe mchanganiko wako umechanganyika.baada ya hapo fanya massage kwenye matiti yako kwa kutumia mchanganyiko huo,ukishafanya massage vaa bra ya zamani ambayo imezeeka kwani mchanganyiko huo ni rahisi kuharibu bra. baada ya hapo tumia maji ya vuguvugu kuhakikisha unaosha matiti yako 

baadhi ya michoro ya piko

Image
kwa wale wanaopenda kupwndwza baada ya mwenzi wa ramadhani hiyo ni baadhi ya michoro ambapo kama unaweza kuchagua mmoja wapo utatoka poa.